NYUMBA YA MAKAZI BINAFSI YA KAMISHNA WA POLISI ZANZIBAR YASHAMBULIWA KWA MRIPUKO.
Siku nne kabla ya uchaguzi mkuu wa marudio Zanzibar hali kisiwani Zanzibar inaanza kuwa tete baada ya watu wasiojulikana kulipua nyumba ya mkuu wa jeshi la polisi Zanzibar iliyoko kijichi wilaya ya Magharibi Zanzibar.
Watu wasio julikana wamerusha bomu na kulipua nyumba ya Kamishna wa Polisi Zanzibar,Hamdani Omar Makame eneo la Kijichi.
Tuesday, March 15, 2016
YUMBA YA MAKAZI BINAFSI YA KAMISHNA WA POLISI ZANZIBAR YASHAMBULIWA KWA MRIPUKO MUANDISHI WETU MOHD MUSSA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
SIKU YA UFUNGUZI WA MAFUNZO YA VIJANA
Mkuu wa wilaya amewataka v ijana kuweza kupa mbana na o vitendo vya Uzalilishaji
-
Ili kuweza kuweza kumlainisha mpenzi wako chumbani ni lazima umnyenyeke yeye kama yeye na maneno malaini kama..,...............................
-
Mkuu wa wilaya amewataka v ijana kuweza kupa mbana na o vitendo vya Uzalilishaji
No comments:
Post a Comment