Tuesday, March 15, 2016

Sheria ya ndoa ya mwaka 1971,

Sheria ya ndoa ya mwaka 1971, vifungu namba 13 na 17 vinaruhusu mtoto wa kike mwenye miaka 14 au 15 kuolewa. Lakini baadhi ya wadau wamepinga sheria hii kuwa inachangia kuharibu watoto wa kike mapema
Kama unaipinga sheria hii comment neno 'NO', kama unaiunga mkono comment neno 'YES'.

No comments:

SIKU YA UFUNGUZI WA MAFUNZO YA VIJANA

Mkuu wa wilaya amewataka v ijana kuweza kupa mbana na o vitendo vya Uzalilishaji