Tuesday, March 15, 2016

UKUU : "Nimewateua ninyi (Wakuu wa Mikoa) muende

NUKUU : "Nimewateua ninyi (Wakuu wa Mikoa) muende mkawatumikie Wananchi na sio kwenda kufanya siasa. Ilinichukua muda sana kuteua kwa sababu nilitaka kujihakikishia kua ninateua watu makini. Mkienda Mikoani, hakikisheni Watumishi hewa katika Halmashauri wanaondolewa kwani tunapoteza fedha nyingi sana kulipa Watumishi hewa. Mkurugenzi yeyote wa Halmashauri atakaeshindwa kutekeleza hili ndani ya muda huu atakuwa amejifukuzisha kazi".
Tukiachana na itikadi za kisiasa, kwa Utendaji wake unampa asilimia ngapi??

No comments:

SIKU YA UFUNGUZI WA MAFUNZO YA VIJANA

Mkuu wa wilaya amewataka v ijana kuweza kupa mbana na o vitendo vya Uzalilishaji