Kwenye jamii hiyo mtoto akizaliwa hufungwa na kitambaa kigumu kwa nguvu akiwa bado mchanga, ili kuwezesha fuvu lake la kichwa kuchongoka na kuwa refu.
Utamaduni huu ulikuja kupotea baada ya wabelgiji kuanza kuwatawala na mpaka sasa haupo tena.
# MAANA YA KIJANA
MAANA YA KIJANA IMEFAFANULIWA NA SERA NA SHERIYA MBALIMBALI KWA NA KWAKUANZA NA SERA YA MAENDELEO YA VIJANA YA ZANZIBAR YA MWAKA #2005 VIJANA WAMEELEZEWA NI WATU WOTE(# MWANAMKE NA # MWANAUME)
WENYE UMRI KUAZIA MIAKA #15 HADI #35 SERA YA MAENDELEO YA VIJANA YA TANZANIA BARA YA MWAKA 1997 NAYO PIYA IMEFAFANUA MAANA YA NENO KIJANA KWA KUELEZA YA KWAMBA KIJA NI MTU AU WATU WENYE UMRI WA MIYAKA #15 HADI #35
HIYO BASI KUONEKANA YA KWAMBA KIPIMO NA KIGEZO CHA MSINGI KINACHO ZINGATIWA KATIKA KUFAFANUWA ANA YA NENO KIJANA KWA MUJIBU WA SERA ZOTE MBALMBALI KIMEEGEMEA ZAIDI KWENYE UMRI WA MTU AU WATU.
Kuna wengi wanataka kuigiza lakini frusa ndiyo kikwazo cha mawazo yao je kama wewe unapenda sanaa unatowa umshauri gani
Wabunge wa CHADEMA wakiwa kwenye kikao cha dharura kinachoendelea muda huu katika ofisi za Umoja wa Ulaya (EU) wakiongea na Mabalozi kutoka nchi mbalimbali kuhusu hali ya siasa nchini Tanzania na kutofikishwa Mahakamani kwa Viongozi wakuu wa CHADEMA walioko mahabusu.
Toa maoni yako