Thursday, June 7, 2018

JEUNA ISHAURI NN HII JAMII YA MANGBETU

#FAHAMU Watu wa jamii ya 'Mangbetu' ambao walikuwa wakipatikana katika msitu wa Kongo, walikuwa na utamaduni wa kuchonga vichwa na kuwa virefu kama status ya familia inayojulikana kama ‘Lipombo’, lakini baadaye iligeuka kuwa kama urembo.
Kwenye jamii hiyo mtoto akizaliwa hufungwa na kitambaa kigumu kwa nguvu akiwa bado mchanga, ili kuwezesha fuvu lake la kichwa kuchongoka na kuwa refu.
Utamaduni huu ulikuja kupotea baada ya wabelgiji kuanza kuwatawala na mpaka sasa haupo tena.
Hii kwako imekaaje!!? Toa maoni yako kisha share na wana

Saturday, June 2, 2018

KARIBU KATIKA KUJIFUNZA FUNGUWA HAPA KUWEZA KUPATA MAELEZO


KWA WALE WANA TAKA MAFUNZO YA KUCHO PIKO KWA BEI NAFUU PITIA KURASA HUU KISHA WEKA IME AU NAMBA YA SIMU WATOWA HUDUMU WAWEZE KUKUFIKI KWA HARAKA

Thursday, May 24, 2018

R.I.P KAMA UNA MKUBALI USIACHE KUPITA HAPA KWA

R.I.P AGNESS TOKEA AFARIKI NI MWEZI MMOJA SASA JE KAMA WEWE NI MPENZI WA HUYU BINTI TUMA NENO MOJA KAMA ISHARA YA UPENDO .

Friday, May 11, 2018

Kama ni kijana usipitwe na huu ukurasa

# MAANA YA KIJANA
MAANA YA KIJANA IMEFAFANULIWA NA SERA NA SHERIYA MBALIMBALI KWA NA KWAKUANZA NA SERA YA MAENDELEO YA VIJANA YA ZANZIBAR YA MWAKA #2005 VIJANA WAMEELEZEWA NI WATU WOTE(# MWANAMKE NA # MWANAUME)
WENYE UMRI KUAZIA MIAKA #15 HADI #35 SERA YA MAENDELEO YA VIJANA YA TANZANIA BARA YA MWAKA 1997 NAYO PIYA IMEFAFANUA MAANA YA NENO KIJANA KWA KUELEZA YA KWAMBA KIJA NI MTU AU WATU WENYE UMRI WA MIYAKA #15 HADI #35
HIYO BASI KUONEKANA YA KWAMBA KIPIMO NA KIGEZO CHA MSINGI KINACHO ZINGATIWA KATIKA KUFAFANUWA ANA YA NENO KIJANA KWA MUJIBU WA SERA ZOTE MBALMBALI KIMEEGEMEA ZAIDI KWENYE UMRI WA MTU AU WATU.

Tuesday, May 1, 2018

ZANZIBAR COMEDY

Kuna wengi wanataka kuigiza lakini frusa ndiyo kikwazo cha mawazo yao je kama wewe unapenda sanaa unatowa umshauri gani

Saturday, April 14, 2018

Thursday, March 29, 2018

HEBU SOMA VIZURI HAPA

Wabunge wa CHADEMA wakiwa kwenye kikao cha dharura kinachoendelea muda huu katika ofisi za Umoja wa Ulaya (EU) wakiongea na Mabalozi kutoka nchi mbalimbali kuhusu hali ya siasa nchini Tanzania na kutofikishwa Mahakamani kwa Viongozi wakuu wa CHADEMA walioko mahabusu.
Toa maoni yako

ENGEZA HAMU YA CHAKULA MAMII PILI PILI

Zipo katika ubora wa 100% nitamu na yenye laza nzuri