Thursday, March 29, 2018

HEBU SOMA VIZURI HAPA

Wabunge wa CHADEMA wakiwa kwenye kikao cha dharura kinachoendelea muda huu katika ofisi za Umoja wa Ulaya (EU) wakiongea na Mabalozi kutoka nchi mbalimbali kuhusu hali ya siasa nchini Tanzania na kutofikishwa Mahakamani kwa Viongozi wakuu wa CHADEMA walioko mahabusu.
Toa maoni yako

No comments:

SIKU YA UFUNGUZI WA MAFUNZO YA VIJANA

Mkuu wa wilaya amewataka v ijana kuweza kupa mbana na o vitendo vya Uzalilishaji