Serikali ya Israel imechukua hatua ya kupunguza hukumu kwa watumizi wa bangi.
Badale yake imeunga mkono hatua ya kuwapiga faini huku wale wanaorejelea makosa hayo wakishtakiwa kwa uhalifu.
Uuzaji,ununuzi na uzalishaji wa bangi Israel utasalia kuwa kinyume na sheria na mpango huo lazima uidhinishwe na bunge.
Kulingana na afisi ya Umoja wa Mataifa kuhusu uhalifu ,takriban asilimi 9 ya raia wa Israel wanatumia bangi ijapokuwa baadhi ya wataalam wanakadiria kwamba idadi hiyo iko juu zaidi ya inavyodhaniwa.
Tuesday, March 7, 2017
Kwa mtazamo wako bangi ina weza kupotea
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
Ili kuweza kuweza kumlainisha mpenzi wako chumbani ni lazima umnyenyeke yeye kama yeye na maneno malaini kama..,...............................
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi Summary Ni nyakati ambazo Rais John Magu...
No comments:
Post a Comment