Sunday, March 13, 2016

Raisi wa john pombe asibitisha soma zaidi

# Rais Dkt. John Pombe Magufuli amewathibitisha watendaji wakuu wa taasisi mbili za serikali.
# Waliothibitishwa :Bw. Alphayo Kidata,aliyekuwa Kaimu Kamishna Mkuu TRA,ambaye anakuwa Kamishna Mkuu wa TRA,Bw.Valentino Mlowola aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu TAKUKURU, ambaye anakuwa Mkurugenzi Mkuu wa (TAKUKURU).

No comments:

SIKU YA UFUNGUZI WA MAFUNZO YA VIJANA

Mkuu wa wilaya amewataka v ijana kuweza kupa mbana na o vitendo vya Uzalilishaji