Thursday, June 7, 2018

READ MORE IN THIS PLACE

to the one who likes youth development and ask me to be able to reach my goal of crossing through networks through social networking because I have a big dream to be an example to other teenagers that social networks are likely to be unemployed for young people when the focus is on
www.mohdmussaomar72@gmail.com
phone number 0714244449
by mohd mussa omar

JEUNA ISHAURI NN HII JAMII YA MANGBETU

#FAHAMU Watu wa jamii ya 'Mangbetu' ambao walikuwa wakipatikana katika msitu wa Kongo, walikuwa na utamaduni wa kuchonga vichwa na kuwa virefu kama status ya familia inayojulikana kama ‘Lipombo’, lakini baadaye iligeuka kuwa kama urembo.
Kwenye jamii hiyo mtoto akizaliwa hufungwa na kitambaa kigumu kwa nguvu akiwa bado mchanga, ili kuwezesha fuvu lake la kichwa kuchongoka na kuwa refu.
Utamaduni huu ulikuja kupotea baada ya wabelgiji kuanza kuwatawala na mpaka sasa haupo tena.
Hii kwako imekaaje!!? Toa maoni yako kisha share na wana

Saturday, June 2, 2018

KARIBU KATIKA KUJIFUNZA FUNGUWA HAPA KUWEZA KUPATA MAELEZO


KWA WALE WANA TAKA MAFUNZO YA KUCHO PIKO KWA BEI NAFUU PITIA KURASA HUU KISHA WEKA IME AU NAMBA YA SIMU WATOWA HUDUMU WAWEZE KUKUFIKI KWA HARAKA

Thursday, May 24, 2018

R.I.P KAMA UNA MKUBALI USIACHE KUPITA HAPA KWA

R.I.P AGNESS TOKEA AFARIKI NI MWEZI MMOJA SASA JE KAMA WEWE NI MPENZI WA HUYU BINTI TUMA NENO MOJA KAMA ISHARA YA UPENDO .

Friday, May 11, 2018

Kama ni kijana usipitwe na huu ukurasa

# MAANA YA KIJANA
MAANA YA KIJANA IMEFAFANULIWA NA SERA NA SHERIYA MBALIMBALI KWA NA KWAKUANZA NA SERA YA MAENDELEO YA VIJANA YA ZANZIBAR YA MWAKA #2005 VIJANA WAMEELEZEWA NI WATU WOTE(# MWANAMKE NA # MWANAUME)
WENYE UMRI KUAZIA MIAKA #15 HADI #35 SERA YA MAENDELEO YA VIJANA YA TANZANIA BARA YA MWAKA 1997 NAYO PIYA IMEFAFANUA MAANA YA NENO KIJANA KWA KUELEZA YA KWAMBA KIJA NI MTU AU WATU WENYE UMRI WA MIYAKA #15 HADI #35
HIYO BASI KUONEKANA YA KWAMBA KIPIMO NA KIGEZO CHA MSINGI KINACHO ZINGATIWA KATIKA KUFAFANUWA ANA YA NENO KIJANA KWA MUJIBU WA SERA ZOTE MBALMBALI KIMEEGEMEA ZAIDI KWENYE UMRI WA MTU AU WATU.

Tuesday, May 1, 2018

ZANZIBAR COMEDY

Kuna wengi wanataka kuigiza lakini frusa ndiyo kikwazo cha mawazo yao je kama wewe unapenda sanaa unatowa umshauri gani

SIKU YA UFUNGUZI WA MAFUNZO YA VIJANA

Mkuu wa wilaya amewataka v ijana kuweza kupa mbana na o vitendo vya Uzalilishaji