Monday, January 21, 2019
Sunday, July 1, 2018
Thursday, June 7, 2018
READ MORE IN THIS PLACE
www.mohdmussaomar72@gmail.com
phone number 0714244449
by mohd mussa omar
JEUNA ISHAURI NN HII JAMII YA MANGBETU
Kwenye jamii hiyo mtoto akizaliwa hufungwa na kitambaa kigumu kwa nguvu akiwa bado mchanga, ili kuwezesha fuvu lake la kichwa kuchongoka na kuwa refu.
Utamaduni huu ulikuja kupotea baada ya wabelgiji kuanza kuwatawala na mpaka sasa haupo tena.
Saturday, June 2, 2018
Wednesday, May 30, 2018
Thursday, May 24, 2018
Friday, May 11, 2018
Kama ni kijana usipitwe na huu ukurasa
# MAANA YA KIJANA
MAANA YA KIJANA IMEFAFANULIWA NA SERA NA SHERIYA MBALIMBALI KWA NA KWAKUANZA NA SERA YA MAENDELEO YA VIJANA YA ZANZIBAR YA MWAKA #2005 VIJANA WAMEELEZEWA NI WATU WOTE(# MWANAMKE NA # MWANAUME)
WENYE UMRI KUAZIA MIAKA #15 HADI #35 SERA YA MAENDELEO YA VIJANA YA TANZANIA BARA YA MWAKA 1997 NAYO PIYA IMEFAFANUA MAANA YA NENO KIJANA KWA KUELEZA YA KWAMBA KIJA NI MTU AU WATU WENYE UMRI WA MIYAKA #15 HADI #35
HIYO BASI KUONEKANA YA KWAMBA KIPIMO NA KIGEZO CHA MSINGI KINACHO ZINGATIWA KATIKA KUFAFANUWA ANA YA NENO KIJANA KWA MUJIBU WA SERA ZOTE MBALMBALI KIMEEGEMEA ZAIDI KWENYE UMRI WA MTU AU WATU.
Tuesday, May 1, 2018
ZANZIBAR COMEDY
Kuna wengi wanataka kuigiza lakini frusa ndiyo kikwazo cha mawazo yao je kama wewe unapenda sanaa unatowa umshauri gani
SIKU YA UFUNGUZI WA MAFUNZO YA VIJANA
Mkuu wa wilaya amewataka v ijana kuweza kupa mbana na o vitendo vya Uzalilishaji
-
1. Select [System] under Navigation 2. Select [Websites] > [New] in the Side Menu You can use Movable Type to manage multiple websites....
-
KATIKA MAWAZO ALIYO JIPANGIA KATIKA MAISHA UPAMBANAJI NIVYEMA KWA SABABU NI MIONGONI MWA AJIRA AU KUJIAJIRI KATIKA SEHEMU TOFAUTI