milima ya Lihanje
MKUU wa Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma, Pololet Mgema amepiga marufuku kufanyika kwa shughuli mbalimbali za kibinadamu kuzunguka safu ya milima ya Lihanje, ikiwemo kilimo na ufugaji ili mlima huo utumike kwa ajili ya hifadhi.
Monday, April 3, 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi Summary Ni nyakati ambazo Rais John Magu...
No comments:
Post a Comment