Wahudumu wa afya nchini Rwanda wameonywa kutokuingia tena kazini na simu za mkononi kuanzia tarehe mosi mwezi Machi.
Waziri wa Afya Dkt Diane Gashumba amesema kuwa hatua hiyo inalenga kuinua huduma kwa wagonjwa kutokana na utafiti kuonesha kuweko kwa huduma duni kunakosababishwa na matumizi ya simu binafsi kazini.
Wednesday, February 15, 2017
WAZIRI WA AFAFYA AKATAZA KUTUMIA SIMU KAZINI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
Ili kuweza kuweza kumlainisha mpenzi wako chumbani ni lazima umnyenyeke yeye kama yeye na maneno malaini kama..,...............................
No comments:
Post a Comment