MATUKIO YA KISIASA
MATUKIO YA KISIASA
Mohamed Farmajo rais mpya wa Somalia
Waziri Mkuu wa zamani wa Somalia, Mohamed Abdullahi Farmajo amechaguliwa kuwa rais mpya wa nchi hiyo, huku akiahidi kupambana na rushwa na wanamgambo wa kundi la kigaidi la Al-Shabaab.
No comments:
Post a Comment