Tuesday, March 15, 2016

CCM tuliwaambia vita ikija haichagui,

CCM tuliwaambia vita ikija haichagui, na wakati wa vita hasa ya kiraia kama hii uliopo Zanzibar huwezi kufanya upembuzi huyu ndie huyu sie.
Kilichotokea mtoto wa bin Haroub ambaye ni CCM usiku wa kuamkia Leo askari wa CCM wakiwa pamoja na Mazombi’ wamechapa vibaya vibaya kwa kukaidi agizo la Mkuu wa Mkoa, kosa kujifanya walinzi wa maskani yao mjini Wete Pemba wakisahau kwamba mwisho ni saa mbili usiku kukaa nje Mkoa wa Kaskazini.

No comments:

SIKU YA UFUNGUZI WA MAFUNZO YA VIJANA

Mkuu wa wilaya amewataka v ijana kuweza kupa mbana na o vitendo vya Uzalilishaji