MOHD MEDIA CENTER
Tuesday, March 3, 2015
Balozi Seif akabidhi vifaa vya ujenzi jimboni
Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi akikabidhi vifaa vya ujenzi kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa Tawi la Chama cha Mapinduzi Kwa Gube Mfenesini.
Kulia ya Balozi Seif ni Mwenyekiti wa CCM wa Tawi la CCM la Kwa Gube Ndugu Salum Ali Mzee.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ENGEZA HAMU YA CHAKULA MAMII PILI PILI
Zipo katika ubora wa 100% nitamu na yenye laza nzuri
WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII SOMA ZAIDI
(no title)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi Summary Ni nyakati ambazo Rais John Magu...
No comments:
Post a Comment